@rkplatnumzrkplatnumz63394 years agoKiukweli simba yangu ipo vzr kuna mda mnacheza vzr kuwashinda hadi Tim za uraya 2
@
@chieframaramadhansadiki46254 years agoNdemla kwa kazi nzuri ya leo, naweza kumwita profesa Said Hamis Juma Ndemla 🤣❤️ 50
@
@fredymjindoseverine12804 years agoKama umegundua magoli yote mpira umeguswa na Santos na mikson...nipe like 2
@
@majidhamed3594 years agoSimba bila kushinda silagi chakula kabisa like kama hulagi na wewe 70
@
@kazauram2ku2654 years agoKama umefrahia kucheza kwa mlipili km mimi gonga like apa 76
@
@snakeboy12254 years agoHaya ndo mambo sasa sio kila tukitaka marudio hadi tuakaongeze Views azamtv tutabanana hapa wana simba. Hakika hili ni jambo kubwa sana katika ushabiki wangu 🙏😃😃 29
@
@muddydamdeok50984 years agoGood Job My BeSt teAm3
@
@uwezowamunguutendaokazi30434 years agoAmen amen. MUNGU MKUU yupo nasi daima. Barikiwa nyote. Amen.
@
@lusajodaimon27804 years agoNdemla kacheza vzur sana pia mlipili aanzishwe na wawa au nyoni maoni 2
@
@MsuyaMsuyaJr4 years agoNdemla kafanya kaz kubwa san hongera! Kwake 2
@
@allymaongez63234 years agoAhsante Sana wanangu wa msimbazi kwa kutu furahisha,na kuwa kalisha kimya utopolo fc au gongo wazi
@
@dutchsafari75624 years agoWangapi wameona vizuri Fraga akikata umeme dk halafu ndemla akimla mtu dk 3
@
@kassimmwamchua48664 years agoNdemla's perfomance was outstanding 3
@
@sonymiles44894 years agoAhsante sana kwa kutusogezea mambo mazur 2
@
@kinguyejumanne98914 years agoKama umefurahii kumuona ndemla gonga like hapa na yusuph mlipiri 10
@
@josephstima54344 years agoNdemla apewe Demu jamani au mnasemaje....halafu huyo Konde Boy Miquisone kahusika magoli yote matatu...big up
@
@irenepyemba48944 years agonguvu moja safi ndemla na fraga cjuii unamchagua nani af anglia bao la kwnz kaz nzur ya fraga sven mpangee bhnaa 2
@
@shabanmzeru1304 years agondemlaaa nime iyona kazi yake pale katiiiiiiiiiii.......... 27
@
@valyagraphicstz7994 years agoSema dilunga ni motooo Simba damuuu 1
@
@mwinyimgawe96644 years agoAsante chama langu maana hii game niliikosa kuangalia kwa TV
@
@mohamedidd31614 years agoKama umesikia kirikuu tujuane hapa kwa like 19
@
@shedy_marie4 years agoNashindwa niseme nn furaha niyonayo moyon mwangu kwakwel cjakosea kupenda mpira furah yangu ni simba asante san kwa ushind mnono yan sina usingiz hapa mungu wangu endelea kuwaongoza vijana wako kwa jina laYesu 2
@
@mafiaclic25444 years agoVizuri kabisa kutupia contents kwenye YouTube channel ya Simba
@
@alfanmkulo27924 years agoBoko ninachompendea sio mchoyo alikuwa na uwezo wa kufunga mwenyewe 17
@
@richardmallya39064 years agoSimba sc Tanzania ndio club bora kwa sasa Africa ya Mashariki.
@
@matatizokatwange82164 years agoSimba kushinda ni jadi yetu lakini kutoa sare ama kupoteza ni bahati mbaya Simba nguvu moja
@
@evancej3714 years agoSimba nizaid ya clabu yeyote hapa bongo sema kocha wao ndo hajajua kupanga kikosi chake ila Simba ipo vizur sana 1
@
@husseinkonz51924 years agoHalafu anatokea mlevi aseme ubingwa simba haitachukua 2
@
@wilsonnsalanje78414 years agoKirikuuu. Mjanja saaana. Konde boooooy
@
@davismweli24354 years agoKocha endelea kuwapa nafasi vijana wetu wazawa wanaweza fanya kitu kizuri zaidi ya leo. Kongore zakutosha kwako Ndemla umegawa upendo mwingi sana pale kati. Nguvu moja SSC
@
@vickyedwin25034 years agoSimba ni timu kubwa,Mungu atujalie ubingwa
@
@kingkube50004 years agoKilikuuuuuu ahaaaaa😂😂 wewe mtangazaji una batiza 1
@
@josephvenus32594 years agoLuis , anajua sana huyu dogo. Kila goli amehusika kiukweli. Ndelmla ndio mwenyewe. Flaga kaua kabisa. Kiujumla Simba Leo mmecheza kitimu kweli
@
@zabronnkoy49084 years agoFraga hana mambo mengi yeye ni kazi tu
@
@marianamonique9634 years agoEti nani anaweza kusema simba ataweza kushikwa sharubu akiwa nyumbani? Hahahahahaaaaaaa 2
@
@emmanuelmussa83314 years agoLuis Jose misquissone ni hatari sana huyo mtoto 4
مقاطع الفيديو ذات الصلة على FULLTIME: SIMBA SC 3 - 0 Mwadui FC. Haya hapa magoli yote:
Simba damuuu 1
Simba nguvu moja