المدة الزمنية 2:43

MDOMO UMEMPONZA YANGA YAMFUTA KAZI KOCHA LUC AYMEL,UONGOZI WAMTAKA KUONDOKA HARAKA NCHINI

بواسطة HABARI PLUS TV
1 661 مشاهدة
0
4
تم نشره في 2020/07/27

Klabu ya Yanga imetangaza kuachana na aliyekuwa kocha wao Luc Eymael kutoka na kutoa kauli za kibaguzi kwa mashabiki wa soka nchini baada ya mchezo wa mwisho wa ligi kuu bara dhidi ya Lipuli FC jana.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0