المدة الزمنية 5600

Mshindi wa saba wa bajaji kutoka promosheni ya Twende Mjini, Tanga

بواسطة Vodacom Tanzania
200 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2021/07/22

Kutana na mshindi wa saba wa bajaji mpya kabisa kutoka kwenye promosheni ya #twendemjininampesa Bwana Sufiani Saidi Hamza kutokea Muheza, Tanga aliyejishindia chombo chake baada ya kuwa mtumiaji mzuri wa M-Pesa. Endelea kutumia M-Pesa yako kukamilisha miamala mbalimbali kujiongezea nafasi ya kushinda chombo kipyaaa. #pesanimpesa

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0