@ayshabayun9014منذ 4 سنواتSafi sn bibi yk tiffah do something that makes you happy..love u zari❣ 5
@
@zimuzorderaمنذ 4 سنواتWarogwe ndio mzuri ili waache kuwa nataja uchawi au kurogwa kila mara,ujinga mtupu tu. Ndo hivo wanaamshaga mizimu mahali zinalala zikisha wajia wanaanza id="hidden1" class="buttons"> kulalamika na kupatia ma pasta na ma sheikh kazi ya kuwaombea,eti mtoto atarogwa c hapo sasa ndo unawakumbusha warogaji wamroge,hata nami ningekuwa najua kuroga kama saa hiyi naanza kazi ya kumroga ndo Zari afunge mdomo wakukuwa nasema kurogwa kila wakati,au anafikiri waliorogwa wana raha yakurogwa?!nonsense. ....وسعت
@
@joyanambuya3695منذ 4 سنواتHAO.WATU HAWAJIELEW..UTANI TU HUWO JAMANI ZARI.YUPO SAHIHI NA MAM DANGOTE YUPO SAHIHI HILA SS WATANZANIA ATUACHI KIHEREHERE SI TUWAACHE NA MAISHA YAO JAMANI id="hidden2" class="buttons"> FATUMA HATA KWENU HILO SWALA LIPO. MAM AU BIBI ANAWEZA KUMPEND MTOT MOJA ....وسعت2
@
@queennanalexabrembo7445منذ 4 سنواتDa tuma leo mm ni wakwanza naitaj lnk zenu jaman 1
@
@felistersmejumaa5188منذ 4 سنواتZari uzee wakusumbua zeeka pole na wacha kujipendekeza kwa familia
@
@pamelaakinyi4769منذ 4 سنواتKwani munamlazimisha mama dangote kupost mtoto wa hamisa 3
@
@fofonadia3657منذ 4 سنواتNdomana sipendi anakauli mbaya kwa watu
@
@roseatieno6691منذ 4 سنواتZari hawezi rogwa wakati yeye ndo mganga pamoja na mume wake marehemu . Hatareeee 3
@
@ROSEROBERTROBARTمنذ 4 سنواتZari hajataja mtu, kwani hamisa ni mchawi, nynyi mna mambo 6
@
@mariyammariyam7209منذ 4 سنواتWacha kuamini mambo ya kishirikiana ww mtoto wa kislamu na wajuwa kuna mungu iweje bibi kumroga mjukuu wake
@
@fetychina3273منذ 4 سنواتMh!diamond kuwakomoa zari awe wakwanza hamisa wapili ili wafyate mikia yao
@
@hadijasaidi7709منذ 4 سنواتJamani ukoo huu pasua kichwani huu udunia dunia huu utawapeleka pabaya wasiwaloge watoto wa bakharesa wamloge mtoto wa ndomo kazi jamani 1
@
@justinjoshua1059منذ 4 سنواتTuachini kelele,mama T hajamtaja mtu.mwenye atajiisi ndomchawi 5
@llgg1042منذ 4 سنواتMmmhhhhhh kumekucha Ila mm sijaona tatizo balitu kitu cha Mama dangote kumpost mjukuu sio tatizo bali nimapenzi ya mjukuu kwasabab zari ndo aliemfanya id="hidden4" class="buttons"> Diamond kuitwa baba kwahio nikawaida kumpost mtoto nikawaid Bal tu zari awe mpole kuliko kusem vibaya kwasabab hain maana ....وسعت
@
@reymattasweety9440منذ 4 سنواتYuko sahihi kusema atarogwa coz kuna macho mabaya yanayo mtazama na kuna midomo mibaya inayomsema vyote hivyo ni uchawi toshaaaaa.uchawi wa ndumba hausumbui id="hidden5" class="buttons"> coz huyu ana kuroga yule anakutibia.kwisha habari yake.lakini macho mabaya na midomo mibaya ufanye kazi kweli coz aliekudhuru ndie huyo anaetakiwa akutibie hapo chachaaaa ....وسعت3
@simonitaagesti3657منذ 4 سنواتWashindwe kulogwa watoto wa bakharesa au mo wajee kumloga huyo mtoto kwa kipi huyu bibi sa nyingine anamajivuno sijui angekua Beyonce ingekuaje duh
@marynoella1752منذ 4 سنواتhuyo anaye kataliwa sikumoja atakuja kuwa wamana ndiyo mama dangote anasababu zake zakufanya ivo but ipo siku atatamani amu post nahitowezekana
@
@bahatisunga1642منذ 4 سنواتShoneni midomo watangazaji maana nyie kwa Umbea na uchonganishi hamshindwi hasa wewe Tuma
@
@reymattasweety9440منذ 4 سنواتWatu mkisikia kurongwa mnafikiri mtu mpaka aende kwa mganga!!!kuna kurogwa kwa husda ambacho ni kitu kibaya kuliko uchawi wa husda inatokana na macho ya watu.Tiffa ni mtoto mdogo anapowekwa mitandaoni kwa sana kuna macho ya wengi yanamtazama sasa kuna macho mema na macho mabaya.endapo yakimpata macho mabaya huo ndio uchawi wenyewe.Tiffa wetu atadhurika.Asiwekwe mitandaoni Midomo ya watu na macho ya watu yana mchawiya bure mtoto Tiffa.watu kusikia kurogwa akili zao zote zinafikiria uchawi wa karumanzira tuuuu basi. ....وسعت2
@
@editakivuti5887منذ 4 سنواتPlz zari stop applying makeup to this kid utamwalibu ngozi ,, she is too young for this 1
Ila mm sijaona tatizo balitu kitu cha Mama dangote kumpost mjukuu sio tatizo bali nimapenzi ya mjukuu kwasabab zari ndo aliemfanya id="hidden4" class="buttons"> Diamond kuitwa baba kwahio nikawaida kumpost mtoto nikawaid
Bal tu zari awe mpole kuliko kusem vibaya kwasabab hain maana ....وسعت