المدة الزمنية 15:31

HEKAHEKA: Ndugu wapewa maiti isiyo ya ndugu yao na kuzua taharuki Katavi

بواسطة Millard Ayo
10 281 مشاهدة
0
21
تم نشره في 2017/02/23

Leo February 23 2017 kupitia hekaheka ya Leo tena ya Clouds FM, Mtangazaji Geah Habib ameileta inayotokea Katavi kuhusu ndugu waliopewa maiti ambayo si ya ndugu yao na kuambiwa kuwa ile ya ndugu yao imechanganywa na imeshazikwa na manispaa.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 10