المدة الزمنية 11:32

BIBI ALIE-TREND ANABETI ILI AJENGE NYUMBA NILIKOSA MILIONI 24, NAUZA PILIPILI

بواسطة Millard Ayo
101 400 مشاهدة
0
965
تم نشره في 2021/05/31

Kama na wewe uliiona picha ya Mwanamke aliyekaa kwa huzuni kwenye mashine ya michezo ya kubahatisha akibet Jijini Dar es salaam hivi karibuni na ukatamani kufahamu ni nini kilimsibu, AyoTV inakukutanisha nae........ jina lake ni Edna Mathayo na umri wake ni miaka 60. Imezoeleka michezo ya ku-bet inachezwa sana na Vijana lakini sio jambo la kawaida kukutana na Mwanamke wa miaka 60 akikomalia kubet?.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 483