المدة الزمنية 1:4

Makafani ya hospitali ya rufaa ya Nyamira yafungwa Kwa mda ili kufanyiwa ukarabati

بواسطة Citizen TV Kenya
1 126 مشاهدة
0
5
تم نشره في 2023/05/30

Makafani ya hospitali ya rufaa ya Nyamira imefungwa Kwa mda ili kufanyiwa ukarabati kutokana na hali mbaya ya chumba hicho cha kuhifadhia maiti. Ukarabati huu unafuatia lalama kutoka kwa wenyeji kuhusu hali mbaya ya makafani hiyo. Akizungumza katika makao makuu ya kaunti hiyo mjini Nyamira, waziri wa afya Dkt. Ombati Mokua amesema miili yote kutoka makafani hiyo na ile itakayotoka katika hospitali ya rufaa ya Nyamira, itahifadhiwa kwenye makafani ya hospitali jirani ya Kinara hadi ukarabati utakapokamilika. Barabara ya kuelekea makafani hiyo vilevile itakarabatiwa.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0