المدة الزمنية 4:2

MASIKINI MANARA UTAMUONEA HURUMA ALIA KAMA MTOTO ''MIMI MASIKINI WATANIUWA INATOSHA MPAKA MO ANA..

بواسطة SamMisago
15 344 مشاهدة
0
99
تم نشره في 2021/07/22
عرض المزيد

تعليقات - 58
  • @
    @twalibabubakar2815منذ 3 سنوات He deserve some respect he have done his best 1
  • @
    @mwetaiza5024منذ 3 سنوات Karibu sana yanga uungane na mzee mpiri
  • @
    @duniawadunia4824منذ 3 سنوات Mzee mpili Ameanza kazi yake sasa pole mzee wetu ila Allah atakulipa Insha'Allah 2
  • @
    @shetabody446منذ 3 سنوات Pole sana kaka yagu hajimanara mungu halali anaona mwenyezi mungu atakulipia
  • @
    @justineonline6556منذ 3 سنوات Dar ? Inasikitisha Sana , pole Sana mkuu , 1
  • @
    @D-Man.B-Freeمنذ 3 سنوات Pole saana, Mzee Mpili kazi imeanza .bado tarehe 25,
  • @
    @merryjoseph1382منذ 3 سنوات Manara sas umeelewaa maana ya tenda wema uende zakoo,daaah pole sana 2
  • @
    @anthonysemiono3579منذ 3 سنوات Hii sauti imeghushiwa bhana. Ngoja tarehe 25 ipite kwanza tutajuwa vizuri!!
  • @
    @richardmakene7780منذ 3 سنوات Pole bro dunia haina haki bali kwa mung tuuu kka inauma lkn ipo xku
  • @
    @brownenas603منذ 3 سنوات Mnara huwa haangalii kesho yake hiyo ni laana kwa kutukana team kipenz ya babaako bila kujar,pole sana binafs nakuonea huruma sana kwa mtu mleamavu akiwa analia, 1
  • @
    @jabually1658منذ 3 سنوات Anae uwaa ni muongu kaka wea achaa kazi tu kaka upumzike na familia yako
  • @
    @maidamwaipopo9603منذ 3 سنوات Sasa unalia nini wee ndo ulie ichagua timu ya wanaviranga
  • @
    @kazkaz1943منذ 3 سنوات Ila haj we ndo ulikua unajitapa una pesa marafiki zako matajir ahahahahah yamekukuta
  • @
    @Userog254منذ 3 سنوات Ila ungejikaza kaka ilimradi lipite hili kwanza la 25 jmn mtawapa mwanya wa kutufunga tn ss, maana waamuzi watachezesha hovyo kisingizio wametumwa na Hajji
  • @
    @mwantumukawambwa8701منذ 3 سنوات HunAlia Ww maneno yak kunya juu ya yang sasa rahan ina kutafuna
  • @
    @esthermikoma9800منذ 3 سنوات Kaka pole sana mungu atafungua milango mingine bado tunakupenda kaka hata sisi tunalia nyamaza kaka yetu kipenzi ncha simba bado tunakupenda,kaka!!
  • @
    @selinalukwembe7363منذ 3 سنوات Achana nao kabisa kama unajuwa wazulumaje waache kweli watakuwekea uga tuna mjuwa sn moo
  • @
    @subiraibrahim8100منذ 3 سنوات Matusi alokuwa akiwatukana watangazaji ndo malipo yake
  • @
    @rajabujohn4573منذ 3 سنوات Haji usiteseke Toka tuachie timuyetu unalianinisasa simbakwasasa inamambo yakufanya usajili mechi ya fsinali nk ivi haji na mo weunafikili Simba watachangua nanii no mo
  • @
    @levinachristopher5196منذ 3 سنوات Duuu! Pole sana Kaka Haji Yani Binadam, hawa aminiki hata ungemtawaza haja bado hata kuwa na shukrani usilie kaka Ila kaa nao mbali wasikuuwe huhai Ni id="hidden4" class="buttons"> muimu sana kuliko vyote vipitavyo duniani Ukihama Simba Mimi pia Nina hama tupo nyuma yako na tunaelewa ulivoipigania Simba kakaa pole sana ....وسعت
  • @
    @mshantazuzu5093منذ 3 سنوات Mzee mpili embu punguza vitu vyako vinatosha watauwana awa wenywe kwa wenywe
  • @
    @roseuwambe893منذ 3 سنوات Makubwa wewe bingwa wa matusi leo wa kulia kama mtoto endelea kutukana bana usilie hawakuwezi
  • @
    @fadhilimwasumle124منذ 3 سنوات Acha kutafuta huruma ya mashabiki, Kama vp Andika barua ya kuacha Kaz sio kuria mitandaon
  • @
    @habibakhalfan1065منذ 3 سنوات Mungu_Halipi_Ujinga_Unaacha_kulilia_kheri_unalilia_mpira_uwiiiii
  • @
    @power.truckxd9957منذ 3 سنوات Sasa manara siutafute kazi nyingine.unalalamika kulipwa kidogo unalia nini
  • @
    @ramadhanichollo6991منذ 3 سنوات Baada ya dhiki faraja njoo yanga lisemwalo lipo hufi kwa ahadi njoo kwa maskini wenzio YANGA OYEeee
  • @
    @jeremiahcharles6027منذ 3 سنوات Huyu babra nae hafai kabsa ,hajui manara kaitoa wap simba 3
  • @
    @levinachristopher5196منذ 3 سنوات Duuu! Pole sana Kaka Haji Yani Binadam, hawa aminiki hata ungemtawaza haja bado hata kuwa na shukrani usilie kaka Ila kaa nao mbali wasikuuwe huhai Ni id="hidden8" class="buttons"> muimu sana kuliko vyote vipitavyo duniani Ukihama Simba Mimi pia Nina hama tupo nyuma yako na tunaelewa ulivoipigania Simba kakaa pole sana ....وسعت