@benwater4957منذ 5 سنواتI was praying and waiting with great thirsty for someone to be brave enough to speak this truth. Surely you have done me justice today Nyalandu. I just id="hidden1" class="buttons"> hope the people understand what you are talking about. Ni juu yao kusuka au kunyoa. Well done you. Can't wait. Watching this space, wow what a speech ❤ ....وسعت4
@
@isaackchambo2642منذ 5 سنواتSafi sana Kamanda Nyarandu,Lumba na vijana wao wataponda sana lkn huu ndio ukwelj na km sio ukweli kwanini mtumie Polisi.???kwenye chaguzi. 5
@
@samuelmwambashi4168منذ 5 سنواتUnafiki mbaya sana!Mwanachama baba askofu anacheeeka!!!
@
@dittokalole3286منذ 5 سنواتWatanzania rahaaa sanaa ushabiki kama wotee!!!
@
@damascongongi1609منذ 5 سنواتWatanzania wa sasa sio wa miaka kumi iliyopita wameshajua mbivu na mbichi. 2
@
@gideonkalumbu5220منذ 5 سنواتHana namna, lazima aseme vile.gate la uongozi wake limefungwa. 3
@
@damianmachira7535منذ 5 سنواتHi ni nchi Kila mtu lazima atambue Tanzania ni zaidi ya Kila mtu. 2
@
@mecksonsamwel2666منذ 5 سنواتMtasubili saaanaaaa. ccm chama dume. 2020 magufuli anatosha hatuoni wakumpiku magufuli hapo wote vilaza2 4
@makongorowassira6593منذ 5 سنواتNnafurahi kuona angalau mnajipa moyo kiasi fulani 2
@
@eaglecrown3872منذ 5 سنواتkwa maelezo hayo nyalandu ni jibu tosha kuwa Tanzania kuna demoklasia nzuli sana maaana ni jibu kuwa magufuli alimbwaga lowasa kihalali, JPM jembe letu ikulu alifika kihalali kabisaaaaa 7
@samwelmwaipopo1455منذ 5 سنواتJames swai umesema nyalandu kasema kweli ,tatizo sisi watanzania ,tunapenda ushabiki tu, sasa je!!wewe hupendi ushabiki?kama wewe mkweli umesahau nyalandu id="hidden3" class="buttons"> aliyokuwa waziri wa maliasiri madudu yalivyokuwa hata utoroshwaji wa wanyama wetu?Kama faru,twiga?ndiyomaana huyu razalo aliyokuwa anamsikia Rais magufuri akitolea mfano wa ufisadi nchini hata wa twiga kutoroshwa nje huku waziri yupo tu,yeye razalo akaanza kuchukia Sasa wewe huyajui haya?Nani anafuata ushabiki mpaka hapa? ....وسعت2
@
@alutefabian831منذ 4 سنواتHizo bang,i rudisha wanyama wetu bwege wee
@
@samuelmwambashi4168منذ 5 سنواتKuna watu wanajimaliza kisiasa kipumbavu sana.Chama kinakufa.
@
@massawejacobمنذ 5 سنواتKwa hiyo mishumaaa ikiwaka utarudiiiiii .mishumaaa Yake ikiwaka anarudiiiii
@
@albertnshunju4172منذ 5 سنواتWewe kibaka uliona hawezi kuiba tena chini ya MAGU 5
@
@masachihorticultureunitcol711منذ 5 سنواتRudisha twiga uliowasafirisha Kwa ndege kwenda nchi za nje. Sema wewe ukitegemea Magufuli akikunyima uwaziri ndio maana ukajiondoa 1
@blandinamwarabu5025منذ 5 سنواتNyie piganieni ruzuku tu msidanganyane
@
@paulmorumbe5493منذ 5 سنواتMnadai hakuna uhuru wa kujieleza Kama kuna watanzania wenye akili wanajua kuchambua pumba hizo dah bac wazir ulifnya nini kwenye wizara yako starehe tu 1
@
@rinovarthiliwi1314منذ 4 سنواتHUYU NDIE MWANA SIASA BORA SANA HANA MAJUNGU NA HAJAWAHI ONGELEA MTU YEYOTE NDANI YA CCM NA NDANI YA CHADEMA.
@
@paulommao7992منذ 5 سنواتaiiseee huyu LAZARO NYALANDU ni muungwana sana sana, nakupenda sana na naamini daima hautarudi ccm. asante sana kamanda. 3
@
@tumatuma6478منذ 5 سنواتhuyu ndo walewale kina sumae na lowasa ukikaribia uchaguz tu wanahamia chadema kutafuta ufisadi kisha wanarudi muongo mkubwa
@
@massawejacobمنذ 5 سنواتKuinadi ccm kweny MKT WA chadema !!! Hii sio sawa .ya chadema yabakie huko na ccm yabakie huko .ukitoka chadema waachie yao na ukitoka ccm waachie yao ! Otherwise unataka kurudi ? Karibu Nyumbani pamenoga !
@paulommao7992منذ 5 سنواتLAZARO TU NDO MWIZI CYOO, WAJINGA WAPO WENGI SANA SANA. kama mwizi mbona hawamshtaki na anadunda tu. WOTE MNAOKOMENT KISISIEM SISIEM nendeni chap id="hidden6" class="buttons"> mkasome kitabu cha mzee wetu Rais Beni Mkapa ambaye kwa dhati anatufundisha cc sote na si kutukana tu. ....وسعت
@
@worldtechnology492منذ 5 سنواتIvi NEC n chadema au ccm maana sielew me nahis watajitoa tena 2020 hawatakubali matokeo NEC nilisikia n ccm sasa sijui chadema wanaenda kumtoa jpm polepole amekufa au yuko hai hahhhaaahahaaha
@
@peteropanga9703منذ 5 سنواتJamani siasa ni maajabu.wajinga ndio waliwao..nasikitika sana watu kutumia jina la mw nyerere.
@
@hawakassimu6120منذ 5 سنواتchadema ndio chama cha kupokea mafisadi ilimpkea lowasa sasa iko na huyu fisadi wa wanyama nyalandu kwendraaaa 1
@
@samwelmwaipopo1455منذ 5 سنواتNyalandu yote sema tu,ila unajutia kimoyomoyo uamuzi wako,ulizani utahama ccm na kuyumbisha chama lakini halihalisi umeiona ccm imara zaidi,na mwisho wako upo Kama wa sumae na lowasa 1
@
@yassiniferuzi2867منذ 4 سنواتAcha kujifanya Kondoo wakati wewe ni Chui kwanza turudishie Twiga wetu
@
@richardthobias5657منذ 4 سنواتKati ya watu wanaopoteza muda, na nguvu zao ni ww nyarandu, hivi Tanzania hii nani atakupa kura ww? Jidanganye ndugu yangu huna ambacho unaweza kuambulia
@
@peteropanga9703منذ 5 سنواتHayo makofi yanatoka moyoni kweli? je leo akirudi CCM itakwaje? makofi yatapigwa tena?
@
@hassanmirambo564منذ 5 سنواتUtofauti ni ile unanijua mimi ni nani imeisha hivi sasa ikitokea bahati mbaya nyalandu ukaniuliza unanijua mimi ni nani nakujibu kwa herufi kubwa wewe shahawa tu au wewe udongo tu na hunifanyi chochote pimbi wewe 1
@
@piushappyness226منذ 5 سنواتMwizi we lazima.uone tofauti umebaniwa shenzi zako .nenda kamwambie aunt ezekiel 1
@
@georgemaji7915منذ 5 سنواتAlieiloga ccm ni WACHAWI WA GAMBOSH.ila kk.mchawi anaweza kumloga mtu mmoja mmoja.ila sisi sote.HAWATUWEZI.CCM IMECHACHA KK NYALANDU..wanajua na wanajishauri what next: MTUACHIE NCHI TUFANYE MAAJABU!!
@
@madukaj.j.6999منذ 5 سنواتNakosa cha kusema lkn Dhahiri huyo ana cha kujibu kuhusu twiga 5
@yasinshaban4933منذ 5 سنواتAliyeshibia jikon humkejel anayesubir dining room..!!! Et tulifundishwa uaminifu, uaminifu gan ulifundishwaaa..!!! Wale twiga veeeep? 3
@
@raymondkagaruki5529منذ 5 سنواتUnajipya ulinyimwa starehe ya kwenda nje ludisha tembo zetu 5
@
@kaminyogemwachelwa9884منذ 5 سنواتHeri kuacha mali za udhalimu na kupigania ukweli.HONGERA NYARANDU 1
@
@mrukerewe2100منذ 5 سنواتHuyu system ili mkataa so nazani magu akitoka madarakani huyu analudi ccm niamini mimi haya maneno yake tu toshaa tayali kuludi ccm 2
@
@judaspantaleo9779منذ 5 سنواتNikiangalia uso wako naona wanyama kadhaa waliotoroshwa 1
@
@faustinekaniki318منذ 5 سنواتHili jambazi la twiga bwana hata silielewi 1
@
@mchungajiemmanuelmtui494منذ 5 سنواتMaaahira tuu ndio hayatamwelewa nyalandu ila nyalandu anaupendo wa dhati na Taifa letu
@Felix72282منذ 5 سنواتHapo anaongea nini huyu? Aseme tu ukweli kuwa aliona kasi ya JPM haiwezi 1
@
@scayroad8500منذ 5 سنواتHUNA LOLOTE WE NI FISADI NDIO MAANA UKAKIMBIA KAA HUKOHUKO JAMBAZI 1
@
@majosamalundi4016منذ 5 سنواتKila mtu naona anakomenti twiga kama ushaidi upo si mpeleke makamani
@
@musakavenuke6378منذ 5 سنواتHiyo ni hasila zako za kunyimwa uwaziri,ustukane mkunga na uzazi ungalipo pili unalopoka tu je wale twiga mbona husemi?
@
@charlesmurimi592منذ 5 سنواتSanaa nyalandu, ccm wameisha baada ya kujichagua wenyewe serikali za mitaa na kutumia dola sana. Siasa ni ushawishi na uzalendo na kuenzi demokrasia. 3
@
@halimamasai2234منذ 5 سنواتWe rudisha twiga zetu huna lolote hata haya huna shenzi wewe 2
@
@blandinamwarabu5025منذ 5 سنواتHASIRA YA KUNYANGANYWA TONGE MDOMONI lo ulitaka uwe Waziri kweli MSHUMAA ULIZIMIKA GHAFLA
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MHE LAZARO NYALANDU AELEZA CCM ILIVYOKUWA NA SASA NI TOFAUTI:
asante sana kamanda. 3
WOTE MNAOKOMENT KISISIEM SISIEM nendeni chap id="hidden6" class="buttons"> mkasome kitabu cha mzee wetu Rais Beni Mkapa ambaye kwa dhati anatufundisha cc sote na si kutukana tu. ....وسعت
Et tulifundishwa uaminifu, uaminifu gan ulifundishwaaa..!!!
Wale twiga veeeep? 3