Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella katika kuhakikisha anawahudumia wananchi wa Mwanza aliamua kutoka nje ya Ofisi yake na kusilikiza kero na matatizo ya wananchi waliofika Ofisi kwake huku akiahidi kuwafuata wananchi wa Wilaya ya Ilemela kutatua migogoro ya ardhi na matatizo mengine.
@veronicasarvatory9516منذ 7 سنواتMungu akupe maisha marefu zaidi hapa duniani Amina 1
@
@idrisarashidi4046منذ 7 سنواتsafi Sana mheshimiwa mongela kwa kazi nzuri 1
@
@mamafranjovlog72منذ 7 سنواتkazi nzuri sana baba Mungu akubariki kusaidia waitaji .haaaahaa ila mwisho kanivunja mbavu eti alokufa aje na cheti cha kifo alohai aje
@
@faidamanoni2285منذ 7 سنواتwe Fanya kazi wachini yako hawajirlewi 1
@
@alfrednziku9075منذ 7 سنواتWakuu wengine wote wa Mkoa waige mfano wa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (Amos Makala); ambaye ana ratiba rasmi kwa mwezi mzima ikiwemo ratiba ya kuonana na kuwasikiliza id="hidden1" class="buttons"> wananchi wake! Hii aliipanga na anaifuata tokea alipoteuliwa ....وسعت2
@
@magorimagori9264منذ 5 سنواتhuyu ndo jembe letu la Mwanza.tunakupenda na kukuombea sana.piga kazi brother
@
@wilsonmasero5976منذ 7 سنواتmkuu wa mkoa huyu huwa namuelewa sana ana busara sana 1
@
@adrianmallyakibona.352منذ 7 سنواتWananchi kama wamekata tamaa hivi. Najiuliza Mkuu Wa mkoa hana watendaji mpaka a attend MTU mmoja mmoja? 2
@
@jonasmjoseph9163منذ 7 سنواتUtaratibu angeliwaita Ofisini, kazi zuri ila utalatibu sio mzur Ongera Mkuu
مقاطع الفيديو ذات الصلة على RC MWANZA ALIVYOACHA OFISI NA KUKAA NJE KUHUDUMIA WANANCHI:
Hii aliipanga na anaifuata tokea alipoteuliwa ....وسعت 2