المدة الزمنية 4:59

Maelfu ya wananchi Arusha wajitokeza kuwapokea viongozi wa Ukawa na wanachama wapya.

بواسطة ITV Tanzania
122 210 مشاهدة
0
269
تم نشره في 2015/08/15

Maelfu ya wananchi wa ndani na nje ya mkoa wa Arusha wamejitokeza kumpokea na kumsikiliza mgombea urais wa CHADEMA kupitia UKAWA na waziri mkuu wa zamani Mh. Edward Lowasa huku wakishuhudu wanachama wa (CCM) na viongozi akiwemo aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani Mh.Laurence Masha.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 25