المدة الزمنية 12:51

TUNDU LISSU AMTAKA RAIS MAGUFULI KUWAELEZA WATANZANIA UKWELI KUHUSU CORONA NCHINI

بواسطة VOA Swahili
60 467 مشاهدة
0
136
تم نشره في 2021/02/23

Aliyekuwa mgombea urais nchini Tanzania, kwa tikiti ya chama cha upinzani, Chadema, Tundu Lissu, amemkosoa rais wa nchi hiyo John Magufuli, kwa jinsi anavyolishughulikia suala la janga la Corona, na kusema kuwa, iwapo utawala wake hautabadilisha msimamo uliouchukuakua kuhusu maambukizi ya virusi hivyo, basi Watanzania wataendelea kupoteza maisha yao, jambo ambalo, amesema, ni la kutia wasiwasi mno. Lissu, ambaye yuko nchini Ubelgiji, alikuwa akizungumza na BMJ Muriithi ambaye hapa anaanza kwa kueleza mtazamo wake kuhusu hali ya Covid-19 nchini Tanzania.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 232