Simba SC imefuzu kuingia hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo kuichapa Nkana FC magoli 3-1 katika mchezo wa maruadiano uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Matokeo hayo yameifanya Simba ifuzu hatua hiyo kwa jumla ya mabao 4-3 kufuatia kufungwa mabao 2-1 katika mchezo wa kwanza uliopigwa nchini Zambia wiki moja iliyopita.
Katika mchezo wa leo Nkana ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 17 kupitia kwa Walter Bwalya akimalizia kwa mpira ambao mabeki wa Simba waliuzembea kwa kufanya mchezo wa kuotea.
Simba walitulia na kupata bao la kusawazisha kupitia kwa Jonas Mkude dakika ya 29, kabla ya Meddie Kagere kupachika bao la pili kwa kichwa dakika ya 45 na baadaye dakika ya 88, Clatous Chama kuipa Simba bao la ushindi.
Baada ya kuaga mashindano haya, sasa Nkana FC wanakwenda kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo watalazimika kupitia hatua ya mchujo ili kufuzu hatua ya makundi ya michuano hiyo ya pili kwa ukubwa barani Afrika.
@khadijaahmad9539منذ 2 سنواتJamani kama unaangalia 2022 like❤️❤️❤️ 112
@
@ayoubfadhili4695منذ 5 سنواتthis battle was like war of seven manusia,, i love simba from india 15
@
@adammasanja1984قبل 3 أشهرUnforgettable match the best emotion, feeling 4 simba fans,love m best African giants SSC mnyama❤❤❤
@
@dicksonaroka6961منذ 5 سنواتNi wangapi bado wanakuja hapa kujikumbushia jinsi Nkana Fc walivyo kufa kwa mkapa December 23 2018.achia like kama tupo pamoja.2019.2020 26
@
@mohamedidd3145منذ 3 سنواتWhat a Historical and Unforgettable match for Simba fans, Simba Nguvu Moja 24
@
@sm5tvمنذ 4 سنواتBado naiangalia mpaka 2020 Kama na ww upo gonga like hapa 56
@
@emmanmwakuka4938منذ 5 سنواتHii clip inanimalizia mb zangu maana si chokagi kuiangalia gonga like kama tupo pamoja wanasimba or Die 135
@
@hatibukimbondile1392منذ 4 سنواتSimba is the football's icon .in Tz 16
@
@wisekingtony6370منذ 6 سنواتSema..simbaaaaaa alafu like. stage ni motooo 53
@
@user-up8mj7mw2tمنذ 6 سنواتchama kwani ndo chama la SIMBA mm sielew jmn like kwa SIMBA # 221
@
@agnessjohn8404منذ 6 سنواتnakukubali Sana unatangaza vizuri Sana mpaka nashindwa kuelewa wewe ni shabiki wa timu gani huna ubaguzi mungu akubariki Sana Love u 71
@
@juliuskened4571منذ 4 سنواتKama umeangalia highlights hii 2020 gonga like za kutosha 168
@
@paulsengelemasengelema8950منذ 4 سنواتKama upo unaitazama hii mwaka 2020 gonga like twenzetu 33
@
@halkhaji4288منذ 6 سنواتmarhaba buuuuuuu chama hii ndo simbaaaa usipite bila kulike 117
@
@vicentmbise245منذ 3 سنواتGonga like kama 2021 umeichekii ,,,simba forever 14
@
@tulivu6377منذ 6 سنواتKama unaipenda simba ngoga like Twende sawa 150
@
@asha_homedecorationsمنذ 6 سنواتMnyama Simbaaaa On mtangazaji ni nomaaaaa 81
@
@agnessjohn8404منذ 6 سنواتvyura wanateseka Asante mungu kwa ushindi huu mnono 48
@
@halkhaji4288منذ 6 سنواتSimba rahaaaa msikereke kwa shughuli isiokua yenu kamanawe unaipenda simba like 31
@
@maulakaroli8323منذ 4 سنواتKama unaaangalia mechi hii kwa hisia Kali huku ukiifikiria game ya platnam kwa mkapa hapa January 6 gonga like twende na simba yetu 17
@
@amedeuslyimo2315منذ 6 سنواتPia kwa nidhamu hii ya mchezo wa simba tutafika mbali sana kilaa LA heri timu yangu simba sc inshallah.. 24
@
@stewardmwanuke5268منذ 6 سنواتHongeleni wachezaji wangu wa SIMBA kwakunipa raha japo tunamajonzi ya mwanachana mwenzetu alie fariki inauma Mungu ailaze roho yake mahara pema PEPONIY AMEEN 30
@
@mwenyasamhando8262منذ 2 سنواتMechi ya maisha yangu, mechi ya historia ya kuishabikia simba na mechi bora kwa upande wangu katika KLABU ya simba . Simba nguvu moja 14
@
@sekeyifabian9517منذ 6 سنواتWaambieni wasije kichwa kichwa.This is Simba. 34
@
@raiphodytzkaundatz6244منذ 6 سنواتMtangaz mungu anakuona ety marahaba chama Ety magool kama haya yanalusiwa kweri 75
@
@popperkuch669منذ 6 سنواتHakika kk haji manara upo vzr hongera zako Hongera kwa timu yetu nzm 8
@
@muddydamdeok5098منذ 6 سنواتThis is Simba brother the great Team Of Tanzania 15
@
@abdallahhassani1893منذ 5 سنواتkama unaipenda simba gonga like zakutosha 75
@
@kingayo999منذ 6 سنواتsimba akiona jini anazidi kunyanyua manyoa na kuwa mkali zaid this is simba kaka 51
@
@ibrahimjuma8349منذ 6 سنواتYaan we chama wewe c Wa Africa bwana unadanganya hujatokea uraya kwer! Yaaan Wa kwanza kukoment jaman like zang bas!!! 40
@
@ferouzmasoud4741منذ 3 سنواتAsante Sanaa chama langu la SIMBA Mw/MUNGU awajalie afya njema wachezaji wote 3
@
@thomasnyarusanda2608منذ 6 سنواتWill done Simba,Bravo great Simba. Nkana wamepata taabu sana. Nana hamuwezi kukaa Jedi za Simba mlizopatia ushindi kwenu mje kupata ushindi kwetu,mwiko. Simba heshima. 16
@
@prosperndonjekwa5143منذ 6 سنواتKazeni buti Katika Ligi . Mtakamiwa sana . Kila time inataka kuwafungeni Ili isemme nimeifunga time kubwa 46
@
@user-bi1pv8gp4vمنذ 6 سنواتbaraka mbenja we ni next level thnx simba for simba for this 9
@
@fredrickmangera9520منذ 6 سنواتTripo C utawaua hao, kila goli umehusika. Congrats boe 9
@
@djstone255tzمنذ 6 سنواتAsante Simba kwa zawadi ya funga mwaka 23
@
@ferouzmasoud4870منذ 2 سنواتSichoki kuludia kutazama game hii SIMBA Sc Raha sanaaa 2
@
@amedeuslyimo2315منذ 6 سنواتKuna watu wanaumia sana .. This is simba blaaza. Usipoikubali mbele ya kadamnasi lazima uikubali kimoyomoyo.. hongereni sana chama kangu kwa kutinga hatua ya makundi ....وسعت7
@
@barakajulius5938منذ 5 سنواتBaraka Mpenja wewe ni hatari,hauendani kabsa na mwili wako na jinsi unavotangaza,nakupenda mno bro. 8
@
@officialamirionaire3731منذ 3 سنواتNaiangalia Leo baada ya simba kuifunga fc platinum ya Zimbabwe na kufuzu kutinga atua ya makundi 7
@
@davidmchome949منذ 6 سنواتGoli la Chama litakufanya usahau shida zote za 2018. R.I.P Christopher Alex Massawe 143
@
@beghaezra296منذ 5 سنواتHuwa siwezi kuisahau hii game daaaa Simba ni hatari fire 2
@
@magdalenapeter4851قبل 7 أشهرNakaaga nikimisi kuona maajabu ya mnyama narudia mechi Kama hiz aiseee sijutiiikuipenda hii timu ❤️
@
@wabumbuli2581منذ 6 سنواتKama umemuona mkude akishika nywele kama wachezaji wa nkana gonga like yak hapa 86
@
@mamohamed5914منذ 5 سنواتWazungu wana sema this is simba brother I love this matche coz it's nice game 3
@
@yorrammabugas5856منذ 6 سنواتOooooohhh yeeeeeessss, kuna watu wanateseka, cjajua hapo mpenja alikuw anawaongelea wat gan, jmn naomb mnisaidie 25
@
@agnessjohn8404منذ 6 سنواتsiamini Kama kweli wewe mtangazaji huna timu unayoishabikia hapa tz au na wewe ni mmoja wa wale wanaoteseka nakupenda Sana mtangazaji Kwasababu sijaj id="hidden9" class="buttons">ua timu yako ni ipi maana kila anae funga unasifia kweli huo ndo utangazaji big up kwako simpendi kitenge ....وسعت150
@
@samwelhojatuba1314منذ 3 سنواتKweli Simba inanikumbusha mbali Sana naomba waendelee kutufurahisha zamani Kila siku nikiangaliaga hii mechi nasema Simba no Bora Sana africa 5
@
@dismashaule1631منذ 6 سنواتivi macho yako yanaona kama mm simba raha sana 9
@
@mohammediallykaboza5862منذ 5 سنواتMo , kocha benchi la ufundi na wadau wengine bila kujisahau kama Tim mashabiki mungu asiyuingizie mgogororo acha wateseke zam yao moto haupoi respect simba 1
@
@hemedbacco4719منذ 2 سنواتSimba nguvu moja.. Still watching in 2022 2
@
@sonjon7483منذ 2 سنواتTuliopoo hapa mwezi wa nane 2022 tujuanee kwa likee, wanaliaaa polee e asantee sana mpenjaa
@
@adilcosmasالعام الماضيMechi ilioweka historia ndani ya club ya simba⚽️ 1
@
@peterbandah5560منذ 5 سنواتYan hizi highlights kila nikirudia kuangalia huwa nashangilia kwa mzuka kama naangalia live vile.POLE KWA WANAOTESEKA.THIS IS SIMBA BROTHERS AND SISTERS 11
@
@paulokiruwa9879منذ 3 سنواتBaraka mpenja uliitendea kazi mechi hii kwa utangazaji wako big up 2
@
@shenymohamed3313منذ 6 سنواتSIMBA HATA WAKITAKA UBNGWA AFRIKA WANAWEZA!! NI KUJITOA TU KWA MOYO 116
@
@amanioroma8806منذ 3 سنواتLeo tarehe 25 Oktoba, 2021 tunacheza na galaxy imenifanya nirudi hapa kuangalia hii match 3
@
@Ram_1893منذ 3 سنواتKuna mtu aliniambia kuwa kuna shabiki alimwambia Mkude Pigaaa Leo nimesikia vyema hiyo sauti MOJA# ❤❤❤ 3
@
@africangorillaالعام الماضيkaka unaangalia hii mwaka 2023 piga like wana simbaaaaaa hata haturingi
@
@zamzamrashid9534منذ 6 سنواتmabilionea yetu niboratukamaliziye uwanjawetu ili nass tuzidi kuwa timu bora imara nayenyekilakitu hongera simba hongereni mashabiki wanachama nawafuwasi wasimba tuwepamoja kwakila namna big up simbaaaaaaaa 3
@
@omarmussa2325منذ 2 سنواتDah mechi hii naikumbuka Sana ilikuwa baada mda mrefu simba ikatinga tena hatua ya makundi chama atakuwa katika mioyo ya Simba daima 1
@
@ammarhedeb2464منذ 6 سنواتnaitwa OMARY rashidi kutoka tanga chama utafungwa wewe magoli gani hayo like hopo bs 77
@
@elizabethmkali5782منذ 6 سنواتBaraka mpenja unajuwa kutangaza mpira mungu akupe nguvu 2
@
@hamisirashidi3518منذ 6 سنواتYaan Huyo kes kabla yampila alkua añaiponda simba Leo baada yakidundo anaikubali kwel nmeamin anayekucheka Leo kesho atakuheshimu BIG UP SIMBA kuna aliye onewa 15
@
@dgt6303منذ 6 سنواتHii simba nmeielewa. Lakin zaidi leo nmeona mashabiki kama ulaya. Sapoti ya mashabiki haikuwa ya kitoto 15
@
@mariapialakanje3446منذ 3 سنواتDah safi Simba mkude asante sana kwa goli zuri 1
@
@taysonibrahimmnyambugu8640منذ 6 سنواتMamb ni fire je kunamutu anaumia km yup ajifanye km anajikuna 32
@
@shaukatashiq137منذ 2 سنواتMimi naangalia sahi ❤️❤️❤️❤️simba high
@
@teklamahenge5212منذ 6 سنواتKwa mara ya kwanza kumuona mcheza mieleka Patrick anashangilia 150
@
@thomasshaila5990منذ 4 سنواتNikiwa na umwa na huzuni huangaliwa mumechi huu wakati nalia na kupona kabisa .simba nguvu moja this iz simba.dawa ya corona .20/04/2020 6
@
@annastaziaandrea9789العام الماضيWakwanza mm kuendelea kutizama na kukumbuka ukubwa wa time yangu mungu ibariki simba mwaka 2023 tuwe na mwendelezo mwema, time yet ifike marina. 1
@
@kelvinbadili2223منذ 3 سنواتHii game ilikuwa bora sana na mpaka xaxa 2
@
@wabumbuli2581منذ 6 سنواتkama unamkubal chama like muhmu tusonge kwenye makundi 360
@
@amehassanrehanirehani5061منذ 2 سنواتAh ilikua raha simba raha hii mechi tam san haitoshi na imepat mtangazaj mechi inasisimua I love you simba sc
@
@khadijahali4837منذ 4 سنواتJamani wale tunaoangalia 2020 kipindi hk cha corona tujuane 7
@
@ibrahimmfundo8455منذ 6 سنواتMashabiki hao wanaoishangilia nkana wamekuwa kama machoko 32
Kama na ww upo gonga like hapa 56
Twende sawa 150
Ety magool kama haya yanalusiwa kweri 75
Hongera kwa timu yetu nzm 8
R.I.P Christopher Alex Massawe 143
Leo nimesikia vyema hiyo sauti
MOJA#
❤❤❤ 3