المدة الزمنية 4:48

Msimamo mkali wa Ruto kwa majenerali wa Sudan na juhudi za kutafuta suluhu

بواسطة VOA Swahili
866 مشاهدة
0
18
تم نشره في 2023/06/16

Kenya imejikuta katika hali ngumu katika kuongoza mazungumzo ya amani Sudan, baada ya Rais William Ruto kuchukua msimamo mkali dhidi ya majenerali wanaopigana. Ungana na mwandishi wa VOA akikuletea taarifa kamili kuhusu juhudi hizo. #sudan #majenerali #rais #kenya #williamruto #vita #jeshilasudan #wanamgambowaRSF #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0